Bukobawadau

WATEJA WA SKYLIGHT BAND WABURUDISHWA NA MOKAI CULT BIA MPYA TOKA SWEDEN

Wateja wa Skylight Band wiki iliyopita walipata nafasi ya kuburudika na kinywaji kipya kabisa toka nchini Sweden MOKAI Cult ambacho kina Alcohol 4.5 yenye ladha murua kama aina ya Savanna ambacho ni zaidi ya Savanna.
Hakika wateja wa Skylight Band katika ukumbi wa Thai village Masaki wiki iliyopita walichangamka kweli na kinywaji hiki toka huko Sweden chenye Alchohol ya wastani ambayo mtu anaweza kumudu kunywa na kuamka safi kabisa bila Hang-Over.
DSC_0412
Mashabiki wa Skylight Band wakiingia getini walipata fursa ya kuonjeshwa kinywaji hicho kipya kutoka Sweden kinachotambulika kama MOKAI Cult ambacho kitakuwepo kila siku ya Ijumaa ndani ya Thai Village jijini Dar na kuzidi kuwachangamsha mashabiki wa Bendi hiyo kusakata Rhumba zaidi.
IMG_5171
Mrembo wa MOKAI Cult akifafanua jambo kwa wateja juu ya kinywaji hicho kipya.
IMG_5164
Mbunifu wa Mavazi Gabriel Mollel akiuza sura na Models Neema Mbuya pamoja na Anna.
IMG_5181
Miss Tanzania 2011 Salha Israel (wa tatu kulia) kwenye picha ya pamoja na marafiki zake ndani ya Thai Village-Masaki jijini Dar Juma lililopita.
DSC_0393
Pichani juu na chini ni mashabiki wa Skylight Band wakipata Ukodak na Warembo wa MOKAI Cult waliokuwa wakaribu kwa wateja na kutoa huduma yenye kiwango cha kimataifa. Njoo wewe na yule leo tujikoki na MOKAI.
DSC_0431 IMG_5141
Rappa wa Skylight Band Joniko Flower akiongoza makamuzi na kikosi kazi cha band hiyo kutoa burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya ukumbi wa Thai Village jijini Dar.
IMG_5187
Divas wa Skylight Band wakiongozwa na Aneth Kushaba AK47 katika burudani ya aina yake yenye kiwango cha kimataifa kwa mashabiki wake.
DSC_0006
Digna Mbepera akikamua jukwaani huku akipewa Back-Up na Mary Lucos pamoja na Winfrida.
DSC_0044
Wo! I feel good, I knew that I wouldn't of.....I feel good, I knew that I wouldn't of.....So good, so good, I got you......Joniko Flower, Aneth Kushaba sambamba na Irene binti mwenye kipaji cha kutumia "Saxophone" .
DSC_0018
Mchaka mchaka mwanzo mwisho hapa chezea Skylight Band.
DSC_0030
Mzuka ukiwa umempanda Sam Mapenzi wa Skylight Band.
DSC_0068
Mdau Alois Ngonyani kama kawaida yake hakubali kushindwa.....!
DSC_0098
Warembo wa MOKAI na miondoko ya "Yachuma Chuma".
DSC_0108
Joniko Flower akitangaza zawadi kwa mtu atakayecheza vizuri atajishindia chupa mbili za MOKAI.
DSC_0121
Mmoja wa mashabiki wa Skylight Band akijimwaga jukwaani kuonyesha umahiri wake.
DSC_0129
Na mwishowe alikabidhiwa zawadi ya chupa mbili za MOKAI pamoja na kupata Ukodak na warembo wa kinywaji cha MOKAI Cult.
DSC_0143
Zawadi ziliendelea kugawiwa kama inavyoonekana pichani.
DSC_0156
DSC_0160
Bado nimo kumbeeee.....!...Wababa nao hawakubaki nyuma kwenye burudani.
DSC_0117
Wadau wetu wa ukweli wakipata Ukodak.
DSC_0015
Dr. Sebastian Ndege akishow love na mmoja wa marafiki zake kutoka Mwanza.
DSC_0180
Hapo vipi?? Bata mwanzo mwisho na MOKAI halali mtu hapa mpaka kieleweke.
DSC_0395
Familia ya Skylight Band.
DSC_0400
Wadau wakifurahia Ukodak.
DSC_0063
DSC_0439   IMG_5125
Shika Moyo.......x3........Warembo wa MOKAI wakicheza sebene la Skylight Band.
Next Post Previous Post
Bukobawadau