Bukobawadau

MR.HASSAN(HANS) MUNJURI AUWAWA KWA KUPIGWA RISASI


Ndg Hassan Munjari maarufu kwa jina la Hans ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu asiyejulikana,tukio hilo limetokea majira ya saa 4 usiku wa Jumamosi Dec 7,2013 maeneo ya Yaasila mjini bukoba.
Jeshi la Polisi bado linaendeleana uchunguzi wa kifo hicho.
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amen!
Next Post Previous Post
Bukobawadau