Bukobawadau

OFISI YA WAZIRI MKUU YAZINDUA MPANGO WA KUJIANDAA KUKABILI MAAFA MKOANI SHINYANGA

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Ally Nassoro Rufunga akisisitiza juu ya utekelezaji wa Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga wakati alikiuzindua mpango huo leo Mjini Shinyanga kushoto ni Mkurugenzi Idara ya Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba.


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Ally Nassoro Rufunga akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Bi. Annarose Nyambi Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Wilayani Shinyanga baada ya uzinduzi wa mpango huo leo Mjini Shinyanga kushoto .

Baadhi ya wajumbe kutoka Wilaya za mkoa wa Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja na  Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Ally Nassoro Rufunga(wa pili kushoto), baada ya  uzinduzi wa Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga leo, (wa tatu kushoto) ni Mkurugenzi Idara ya Uratibu Ofisi ya Waziri Mkuu, Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba.
Next Post Previous Post
Bukobawadau