Bukobawadau

KUMBUKUMBU YA MAREHEMU APPOLINARY RWIHULA JAN 24,1988-2014

Mzee Appolinary Rwihula alifaliki 24/01/1988 na leo tarehe 24/01/2014 anatimiza miaka 26 tangu atangulie mbele ya haki anakumbukwa na Familia yake mama yake Mzazi Bi Felista Wiliam mke wake Bi Stivina Rwihula watoto wake Erick Rwihula, Ewald Rwihula, Marina Rwihula, Blandina Rwihula na Expelansia Rwihula Wajukuu na wana ukoo wote. 
 Tunamuomba Mwenyezi Mungu  ailaze roho yako mahali pema peponi.
AMIN...!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau