Bukobawadau

Skylight Band yapagawisha mkesha wa mwaka mpya ndani ya Pantoni FB CHACHA jijini Mwanza

DSC_0527
Dr. Sebastian Ndege a.k.a JEMBE akizungumza na wakazi wa jiji la Mwanza waliojumuika na Skylight Band katika mkesha wa mwaka mpya ndani ya Pantoni FB CHACHA kwenye party la nguvu lililopewa jina la "THE ROCK CITY CRUISE PARTY" maalum kwa wakazi wa Mwanza na kwa mara ya kwanza kushuhudia steji mpya pamoja na vyombo vipya vya Bendi hiyo.
DSC_0606
Mmiliki wa Pantoni FB CHACHA Bw. Kitama akiwasalimia mashabiki wa Skylight Band jijini Mwanza.
DSC_0399
Huu ndio muonekano wa steji mpya ya Skylight Band iliyofungwa ndani ya Pantoni FB CHACHA.
DSC_0705
Mashabiki wa Skylight Band jijini Mwanza wakiburudika kwenye mkesha wa mwaka mpya ndani ya Pantoni FB CHAHA.
DSC_0432
Diva's wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao jijini Mwanza. Kulia ni Winnie pamoja na Mary Lucos.
DSC_0447
Digjna Mbepera na Winnie wakifanya yao jukwaani.
DSC_0458
Mary Lucos katika feelings kali.
DSC_0651
Kipaji kipya ndani ya Skylight Band Hashim Donode akitoa burudani kwa mara kwanza kwa mashabiki wa bendi hiyo jijini Mwanza ndani ya Pantoni FB Chacha kwenye mkesha wa mwaka mpya.
DSC_0498
Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Aneth Kushaba wakifanya yao jukwaani.
DSC_0716
Full mzuka kwa timu nzima ya Skylight Band.
DSC_0895
Pale mzuka unapopanda kwa mpiga solo wa Skylight Band Allen Kisso.
DSC_0664
DSC_0799
DSC_0698
Mashabiki wakisebeneka kwa raha zao ndani ya Pantoni FB CHACHA.
DSC_0703
DSC_0727
DSC_1000
Mzuka unapokolea.
DSC_0754
DSC_0763
Pichani akipongezwa na Captain Chacha pamoja na Meneja wa kinywaji cha K-Vant Bw. James (mwenye t-shirt ya mistari) ambao ni mmoja wa wadhamini waliofanikisha bata hilo.
DSC_0765
Mpango mzima wa cake ulihusika pia.
DSC_0810
Baada ya cake birthday boy aliingia kwa steji na kutoa burudani.
DSC_0616
Pichani juu na chini ni Sehemu ya umati wa wakazi wa jijini la Mwanza wakipatia huduma za vinywaji na nyama choma kwenye fukwe za Club Jembe ya jijini Mwanza.
DSC_0623
DSC_0807
Umati wa wakazi wa jijini Mwanza ukiwa umefurika ndani ya Pantoni FB CHACHA huku Skylight Band ikitumbuiza.
DSC_0820
Steji ya kimataifa vyombo vipya kwa mara ya kwanza ndani ya jiji la Mwanza haijawahi kutokea.
DSC_0824
DSC_1010
Skelewu....Skelewu.....Skeleleeeeeeee...!!!
DSC_0500
Sam Mapenzi akipagawisha mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0551
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akifanya yake huku akipewa sapoti na Mary Lucos, Hashim Donode pamoja na Digna Mbepewa.
DSC_0869
DSC_0870
DSC_0516
Burudani ikiendelea kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya Pantoni FB CHACHA mkesha wa mwaka mpya.
DSC_0940
Blogger Zainul Mzige akiwa na Team Skylight pamoja Dr. Sebastian Ndege a.k.a JEMBE
Next Post Previous Post
Bukobawadau