Bukobawadau

SOMA UJUMBE HUU TAFADHARI MSAADA UNATAKIWA TUTANI,UJUMBE KUTOKA KWA ELIUD MTAGANYWA.

 HII TUMEICHUKUA KAMA ILIVYO KWA LENGO LA KUMSAIDIA KIJANA ELIUD
 MIMI NI ELIUD MTAGANYWA;NAOMBA USHAULI,MSAADA e.t.c.KUNA MTU anaitwa JACKSON MUGARULA,na HAPPYNESS
Happy ni dada yng na JACKSON MUGARULA ni baba mzazi.Ni mzawa wa maeneo ya BUGANDIKA japo cjui Bugandika sehemu gani.Mara ya mwisho mama alionana na kupotezana na naye mwnzoni mwaka 1990 huko mwanza Isamilo,mama arirudi BK na mimi nikiwa mdogo sana na baba alibaki na dada Happy.Miaka 3 badae mama alifariki na kuniacha ujombani,hata hivyo hakuacha taarifa za kutosha kusaidia kumpata baba kwa kilahisi,hvy tangu nizaliwe cmjui kwn hatukuwahi kuonana.
Hivyo kupitia bukobawadau na kurasa nyinginezo ,Leo naomba, nakuomba wewe msomaji kama unanielewa naomba unisaidie kunipa ushauri au kuwapata ndugu wa baba au dada yang au nifanyeje katika hili, nipeni ushauri,ninahamu na kujua ndg zangu walipo.
Natoa maneno haya kwa majonzi xna ,niko tayari kuja/kufika popote pale .
naoffer TSH 200,000 kwa atayenisaidia kuwaona jamaa zng.
Contact zng ni 0752828860,0787849252.NISAIDIENI NDUGU ZANGU.
Next Post Previous Post
Bukobawadau