Bukobawadau

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA USIKU WA VELENTINE'S DAY NA SKYLIGHT BANDNDANI YA THAI VILLAGES

DSC_0416

Lubea wa Skylight Band alitega mingo lango kuu la kuingilia na kugawa Shots za Tequila pamoja na Sambuka bure kwa wapenzi wa Skylight Band.

DSC_0419

Mashabiki wa Skylight Band wakipata shots za Tequila bure kwenye usiku maalum wa wapendanao uliofana Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0435

Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye usiku wa wapendanao juma lililopita huku akisindikizwa na Mary Lucos, Sony Masamba na Sam Mapenzi.

DSC_0611

Wadadaz na Wakaka wakijimwaga na burudani ya Skylight Band.

DSC_0448

Walipendezaje...: Digna Mbepera akifanya yake jukwaani.

DSC_0491

MAJEMBE YA SKYLIGHT BAND....Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo katika hisia kali kwenye nyimbo za malavidavi huku akisindikizwa na Joniko Flower pamoja na Sony Masamba.

DSC_0628

Palikuwa hapatoshi....kama ulikosa juma lililopita basi burudani inaendelea leo pale pale Thai Village.

DSC_0503

Birthday Girl....Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 (katikati) sambamba na Winfrida Richard pamoja na Digna Mbepera waking'ara kwa jukwaani kwenye usiku wa Valentine's Day juma lililopita.

DSC_0637

Mheshimiwa Bundala anakwambia burudani ya Skylight Band ni Gym tosha, kama anavyoonekana pichani akisebeneka na mrembo.

DSC_0514

Nakupenda pia...Nakupenda Pia...... Collabo ya Ukweeli kati ya Hashim Donode na Winfrida Richard njoo Ijumaa hii usikie kwa masikio yako.

DSC_0525

Surprise.....Ilipotimia saa sita kamili ya kuamkia tarehe 15/2 alizaliwa Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47, waimbaji wenzake waliamua kumuimbia wimbo wa Happy Birthday na kumtakia maisha marefu.....Hujachelewa sana Ijumaa hii unaweza kum-wish belated Happy birthday na kazawadi kidogo....!

DSC_0527

DSC_0529

Champagne zilihusika na kufunguliwa na Mary Lucos pamoja na Sam Mapenzi.

DSC_0531

Mashabiki wa Skylight Band wakimpongeza Aneth Kushaba AK47.

DSC_0538

Kuogeshwa nako kulihusika hajalisha umependezaje...lazima uoge kidogo....! Full Champagne....!!!

Kwa picha zaidi ingia humu

Next Post Previous Post
Bukobawadau