Bukobawadau

USIKU WA MDAU ALBAN WENFUREBE NA ANITA GOSBERT

Matukio ya Harusi ya Mdau Bw.Alban Wenfurebe na Bi Anita Gosberth,harusi iliyofanyika  mwishoni mwa juma lililopita katika ukumbi wa Water Front Jijini Dar es Salaam,baada ya ndoa takatifu iliyofungwa katika kanisa la St. Martha Mikocheni.
Mpambe wa Bwana Harusi kulia  Mdau Eradius Gamarwa akisikilizia jambo.
Mpango wa mambo ya zawadi  katika kudumisha mila na tamaduni za kabila la Wahaya
Bwana na Bibi harusi wakikata keki
Maharusi wakilishana keki
Bi Jovita Wenfurebe, dada wa Bwana Harusi katika utambulisho.
Bi harusi Bi Anita Gosbert akitoa tabasamu la nguvu na lenye furaha katika picha ya pamoja na wapambe  wake kinyumbani tunawahita  'abashagazi'
 Bibi Harusi wetu Bi Anita Gosbert.
 Bibi harusi na wapambe wake.
  Maharusi wakishow love mbele ya Camera yetu
 Kwa kweli harusi hii ilifana sana, Bukobawadau tumshuhudia harusi  nyingi sana lakini leo tunaujasiri wa kusema hii ilikuwa Bab kubwa
 Hongera sana Alban, hongera pia Bi Anita.




Next Post Previous Post
Bukobawadau