Bukobawadau

Skylight Band yaendelea kuwapa raha mashabiki wake, ni Ijumaa hii tena @ Thai Village

DSC_0031

Vijana wa Skylight Band wakitoa burudani Ijumaa iliyopita kwa mashabiki wao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar... Burudani inaendelea kama kawaida tukutane tena leo jioni......ni balaaaaa..!

DSC_0019

Divas wa Skylight Band... Kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Mary Lucos na Aneth Kushaba AK47 wakikonga nyoyo za mashabiki wao ndani ya kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0042

Mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga kwenye dancing floor.

DSC_0037

Rapa Joniko Flower akiongoza kikosi cha Skylight Band kutoa burudani ya aina yake Ijumaa iliyopita.

DSC_0056

Mbwembwe za mashabiki wa Skyight Band pale burudani inapokolea watu humwaga radhi.

DSC_0059

Kwa raha zao huku burudani ikiendelea.

DSC_0062

Mpiga Tumba wa Skylight Band Daudi akifanya yake jukwaani...!

DSC_0071

Hela yako haipotei bure kwa burudani kama hii... ni balaaa...!

DSC_0098

Sam Mapenzi akipagawisha mashabiki wa Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita...Pichani ni mdau Alois Ngonyani akionekana kukunwa na uimbaji wa kijana Sam Mapenzi.

DSC_0093

Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo akiburudika na mmoja wa mashabiki wa Skylight Band.

DSC_0083

DSC_0113

Muziki wa pwani a.k.a mduara ulihusika pale kati.

DSC_0121

Mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga na mduara.

DSC_0125

Palikuwa hapatoshi hapo kati.

DSC_0072

Wadau wa Skylight Band wakishow love na Ukodak.

DSC_0126

Mwanafamilia wa Skylight Band Victor Maginga (kulia) akiwa na DJ Peter Moe pamoja na mdau wakipata Ukodak.

DSC_0094

Aneth Kushaba AK47 akishow love na washirika wakubwa wa Skylight Band Alois Ngonyani (katikati) pamoja na Emmanuel Francis.

Next Post Previous Post
Bukobawadau