Bukobawadau

Skylight Band yatikisa jiji la Dar kwenye 'Nyama Choma Festival' ndani ya viwanja vya Posta

DSC_0472

Sam Mapenzi na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma lililofanyika Jumamosi hii kwenye vianjwa vya Posta jijini Dar ambapo Skylight Band iliongoza kwa kukusanya mashabiki lukuki.

DSC_0471

Sam Mapenzi wa Skylight Band akishindana na mmoja wa mashabiki kucheza wimbo wa Davido SKELEWU.

DSC_0441

SKELEWU SKELEWU SKELELEEE.......!!

DSC_0435

DSC_0491

DSC_0446

DSC_0504

Vijana wa Skylight Band wakishambulia jukwaa.

DSC_0478

Mashabiki wakijiachia wakati Skylight Band ilipokuwa ikitumbuiza kwenye Tamasha la Nyama Choma lilofanyika Jumamosi hii ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.

DSC_0413

Winfrida Richard (katikati), Hashim Donode pamoja na Digna Mbepera wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye tamasha la Nyama Choma ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.

DSC_0415

DSC_0499

Burudani zilikuwa nyingi kwenye tamasha la Nyama Choma lakini Skylight Band ilifunika kwenye kuteka mamia ya mashabiki.

DSC_0462

Umati wa wakazi wa jijini Dar wakipata burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma wakati Skylight Band ikitumbuiza.

DSC_0473

DSC_0460

Mashabiki wa Skylight Band waliamua kupanda jukwaani na kuonyeshana ufundi.

DSC_0453

Dar es Salaam are you feeling the music..........yeah......!!!

DSC_0481

Daudi Tumba na mpiga Bass wa Skylight Band Chili Chala wakifanya yao jukwaani.

DSC_0418

Mdau Laurean Kiiza akishusha kinywaji chake baridi...ilikuwa ni mara yake ya kwanza kushuhudia Live Performance ya Skylight Band na sasa ameahidi kuwa mdau mkubwa wa Bendi hiyo.

DSC_0433

Ukizingatia ilikuwa ni siku ya Wanawake Duniani walipataje raha na Skylight Band....!

DSC_0518

Mtaalam wa Nyama Choma akifanya yake ndani ya viwanja vya Posta.

DSC_0516

Kuku wakiwa kwenye hatua za maandalizi.

DSC_0424

Familia ya Skylight Band ikiongozwa na Mkurugenzi mkuu wa Band hiyo Dr. Sebastian Ndege.

DSC_0535

Mmilikiwa Duka la Zuri Fashion Boutique, Fashionista ambaye pia ni Blogger dada Jestina George akishow love na shemeji yake kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika kwenye viwanja vya Posta.

DSC_0524

When Bloggers meet! Operations Manager wa MOblog Zainul Mzige akipata ukodak na Blogger Jestina George...hawa jamaa walikuwa wakiwasiliana kwa njia ya barua pepe katika kupashana habari, hatimaye walikutana uso kwa uso kwenye Nyama Choma Festival ndani viwanja vya Posta.

DSC_0399

Pichani juu na chini ni baadhi ya wadau walihudhuria Nyama Choma Festival iliyofanyika Jumamosi hii kwenye viwanja vya Posta jijini Dar.

DSC_0556

Mzee wa Skonga ya EATV Allan Lucky akishow love na warembo ndani ya Nyama Choma Festival.

DSC_0511

DSC_0522

Mrs. Lucky pamoja na wifi yake.

DSC_0560

DSC_0579

Mdau Emmanuel akishow love na mrembo wa ukweeeh ndani ya viwanja vya Posta.

DSC_0571

Model Danny David pamoja na Noel Ndale wakipata Ukodak kwenye Nyama Choma Festival.

DSC_0576

Noel Ndale akishow love na mrembo kwenye band la Jack Daniel's.

DSC_0574

Next Post Previous Post
Bukobawadau