Bukobawadau

Watch "VIDEO PART 1, UTEKAJI, UTESAJI, UNYAMA ULIOFANYIKA UCHAGUZI MDOGO KALENGA"

Hii ni sehemu ndogo (sample) ya ushuhuda wa matukio ya ukatili, unyama na utwezaji wa uhai, maisha, utu na haki za binadamu waliyofanyiwa mawakala wa CHADEMA, katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga, hasa siku ya kupiga kura, Jumapili ya Machi 16, 2014.
CHANZO:CHADEMA Kurugenzihabari
Next Post Previous Post
Bukobawadau