Bukobawadau

UBELIGIJI NA TANZANIA KUHAMASISHA UWEKEZAJI KATIKA RELI TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Mwakilishi wa Wadau wa Sekta ya Reli Ubelgiji Bwana. Jacques Delaunoit baada ya kumaliza kikao cha kuandaa Kongamano la Uwekezaji katika katika sekta ya Reli Tanzania. Kongamano hilo litafanyika Ubelgiji mwezi Mei, 2014.
Next Post Previous Post
Bukobawadau