Bukobawadau

BALOZI KAMALA AKUTANA NA BALOZI WA UBELGIJI TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye miwani) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ubelgiji Tanzania Mhe. Adam Koeler baada ya kumaliza kikao kuandaa  ziara ya wadau wa miundombinu ya sekta za bandari, reli na kilimo itakayofanyika Ubelgiji kuanzia tarehe 19 - 23 Mei, 2014. Kikao kimefanyika leo Dar es salaam nyumbani kwa Balozi wa Ubelgiji Tanzania
Next Post Previous Post
Bukobawadau