Bukobawadau

CHECK KITCHEN PARTY YA BI ANIFA HAMIMU KAJUGUSI MTALAJIWA WA AZIZ KICHWABUTA

Mwanza Mwanza ,May 20,2014 ndani ya Ukumbi wa Mwanza Hotel ,kinachojili ni Kitchen  Party ya Bi Anifa Hamimu Kajunguti ,ni kati ya Sherehe iliyopendeza sana na kuvutia zaidi kwani watu wake walitoka bomba, waling'ara ile mbaya, mpangilio mzuri zawadi kibwena kama utakavyo ona katika matukio ya picha
 Utayari wa mazingira Mtalajiwa kuingia Ukumbini
Bi harusi mtalajiwa Bi Anifa Hamimu Kajugusi katika posi la kipekee kabisa!!
Kushoto ni Mama Shakila Hamimu Kajugusi, Mama mzaa CHEMA na kulia ni Mama Johari Kichwabuta  ambaye ni Mzazi wa Mdau Aziz Hussein Kichwabuta mme mtalajiwa  wa Bi Hanifa.
Kitendo cha kumkabidhi Bi Anifa, kutoka familia ya Kajugusi,kuwa  familia ya Kichwabuta
 Mama Shakila Kajugusi, Mama Mzazi wa Bibi harusi mtalajiwa mara baada ya kumkabidhi  Binti yake kwa Mama Johari Kichwabuta.
Mama Johari akiwa tayari kumlea Bibie Anifa Hamim,mwanadada mwenye taaluma yake.
 Meza ya wazazi wa Bi Anifa Hamimu Kajugusi
 Wageni kutoka bukoba



Katika picha  Bi Anifa Hamimu akiwa na sehemu ya mawifi zake,kutoka kushoto ni Bi Hawa Kichwabuta, Bi Johari Kichwabuta na Bibie Shakira Kichwabuta.


ZIFUATAZO HAPA CHINI NI  POZI ZA MATUKIO MBALIMBALI YA BI ANIFA
 Mama Mzazi uso kwa uso na mwanae mpenzi.
 Hakika Bi Anifa alipendeza na tabasamu lake.
 Naam !! Bibie Umewaka,umetokelezea, umemyeisa
The Swaggz  hapana chezea!!
Tukio la kukata keki /Matukio yanaendelea 
No Caption..
 Mtu na wifi yake ni Mh. Jeanifer Murungi Kichwabuta na Bi Anifa Hamim 
  . .
Mchanganyiko wa matukio yaliojili katika shughuli ya Kitchen Party ya Bi Anifa. Pichani kushoto ni muonekano wa baadhi ya zawadi
Next Post Previous Post
Bukobawadau