Bukobawadau

SKYLIGHT BAND WALETA HOMA YA BURUDANI NDANI YA JIJI LA DAR, NJOO UTIBIWE THAI VILLAGE IJUMAA HII KWA BURUDANI YA NGUVU

DSC_0001
Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.
DSC_0002
Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
DSC_0003
Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.
DSC_0004
DSC_0008
Aneth Kushaba AK47 toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
DSC_0011
Joniko Flower kushoto akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.
DSC_0014
Hapo sasa Mzuka umeanza kupanda mpaka Sony Masamba kapandisha suruali juu chezea sebene wewe.
DSC_0015
Daudi Tumba akizipiga Tumba kwa ufasahaa mkubwa kabisaaa kutoa burudani kali ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
DSC_0016
Mpiga kinanda mahiri wa Skylight Band AMOS KINANDA akicharaza vizuriiii vitufe vya kinanda hicho kutoa burudani kaliiii ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita kwa mbali mpiga drums mahiri Idrisa akiwajibika.
DSC_0018
Hashim Donode mwenye tisheti nyeusi akizitoa vocal kali akipewa sapoti na Aneth Kushaba pamoja na Digna Mbepera.
DSC_0019
Hahahaha weweeeee umeona stepu izo za Aneth Kushaba AK 47 na Hashim Donode mwenye Tisheti nyeusi hapo ni kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.
DSC_0020
Digna Mbepera mwenye Top ya njano akifuatiwa na Aneth Kushaba pamoja na Hashim Donode wakiwa na furaha teleeee huku wakiyarudi mauno kuwapa burudani mashabiki wao ndani ya Thai Village.
DSC_0021
Kibegaaaa Kibegaaa hapo ni Aneth Kushaba na Hashim Donode wakiwachezesha mashabiki wao ndani ya Thai Village.
DSC_0025
Raha kweli kweli hao ni mashabiki wa Skylight Band Dimo Debwe na Sillas Mbuya wakiwa na mdau wao wakipata Ukodak wa nguvu.
DSC_0028
Ukodak time hapo Ni Aneth kushaba wa kwanza kulia,Winfrida Richard na Digna Mbepera wakifurahia miale ya kamera.
DSC_0029
Sam Mapenzi akitoa bass vocal ya nguvuuu ndani ya Thai village Ijumaa iliyopita.
DSC_0030
Sam Mapenzi akiweka swagga na manjonjo kunogesha mziki kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0032
Joniko Flower baba ya Congo akiimbisha vilivyo na vocal zake kali.
DSC_0034
Kikuku uyooooo ana manyoyaaa uyoooo Kwiooo Kwiooooo staili tamu na inayo wakuna mashabiki wa Skylight ikichezwa vilivyo na Aneth Kushaba na Sam Mapenzi njooo Ijumaa hii ujifunze kucheza.
DSC_0035
Chezea watoto wa mjini wewe unaona mastaili hayo makali ya vijana wa Skylight Band.
DSC_0036
Hapo sasa Aneth Kushaba akiongoza vijana wake kutoa burudani kaliiii ndani ya Thai Village.
DSC_0037
Joniko Flower akionyesha kwamba na yeye anaweza kuyarudi.
DSC_0040
Hapo sasa Jonikoooooo kiuno feni....!
DSC_0056
Wadau wa Skylight Band toka Kushoto Nkina, Dada Josephine na Mdau.
DSC_0057
DSC_0053
Aneth Kushaba aliamua kushuka stejini na kuamua kuyarudi akiwa chini baada ya kupagawa na mziki mzuriiii toka kwa vijana wake.
DSC_0054
DSC_0064
Hahaha Hapo ni mduaraaa unaanza taratibuuuu.
DSC_0065
Zungushaa zungushaaa mashabiki wakijipanga kuucheza mduara.
DSC_0069
Kaka hapo kati akiusakata mduara kwa raha zake na dada kwa mbaliiii akizungusha nyonga.
DSC_0070
Haya sasa kama una nyonga kweli shika kiti tuone kiuno chako lainiiii.
DSC_0071
DSC_0043
Mikono juuu Mikono juuuu kama una furaha hapo ni mashabiki wa Skylight wakichezeshwa kwa Raha zaoooo.
DSC_0047
Mashabiki wakichizika.
DSC_0048
Safiii dada akiburudikaa na mziki mzuri toka kwa Skylight.
DSC_0051
Nyomiii la kutoshaaa ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita tukutane leo pia kwa burudani zaidi.
Next Post Previous Post
Bukobawadau