Bukobawadau

WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO JIJINI DAR MCHANA WA LEO JUNE 21,2014

 Watu zaidi ya kumi wamepoteza maisha kwenye ajali ya Daladala inayofanya safari zake kati ya Ubungo - Tegeta jijini Dar mchana huu,baada ya kushindwa maarifa ya kiudereva kwa Dereva wa daladala hilo hali iliyompelekea dereva huyo kuhama mpaka upande wa pili wa barabara na kulivaa lori kwa nyuma.Chanzo cha ajali hiyo inaelezwa kuwa ni mwendo kasi.
   Tunaomba ladhi kwa picha zinazoendelea hapa chini, Zinatisha sana.
b  Hili ndilo lori lililokuwa likipita katika upande huo wa Barabara na kufatwa na daladala hiyo. 
 Tunaendelea kuwaomba radhi kwa picha hizi zinatisha.
 Ajali imetokea mchana wa Leo Jumamosi June 21,2014 Jijini Dar
Next Post Previous Post
Bukobawadau