Bukobawadau

WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS ILALA 2014 WATAMBULISHWA RASMI KWA MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND

DSC_0089
Vijana wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao huku wakiongozwa na Mary Lucos (kushoto) katika show zao za kila Ijumaa kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar bila kusahau leo pia watakuwepo kuanzia saa tatu usiku.
DSC_0024
Kijana Hashim Donode akionyesha hisia kali wakati akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kushoto ni Meneja wa Band Aneth Kushaba akimpa sapoti.
DSC_0169
Mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na nyimbo mbalimbali zilizokuwa zikiporomoshwa na bendi hiyo.
DSC_0016
Meneja mwenyewe huyo Aneth Kushaba AK 47 akipiga vocal kwa hisia kali kabisa kuhakikisha mashabiki wa Skylight Band roho zao zinasuuzika.
DSC_0080
Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo akifanya yake jukwaani huku kushoto na kulia akisindikizwa na Aneth Kushaba AK47 na Mary Lucos.
DSC_0192
Pichani juu na chini ni washiriki wa shindano la Miss Ilala 2014 litakalofanyika Jumamosi hii ndani ya hoteli ya Hyatt Regency The Kilimanjaro wakitambulishwa mbele ya mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0197
DSC_0205
Washiriki wa shindano la Miss Ilala 2014 wakijimwaga uwanjani na burudani ya Skylight Band ndani kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita.
DSC_0214
DSC_0223
Pichani juu na chini ni walimbwende wa shindano la Miss Ilala 2014 wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kutambulishwa rasmi kwa mashabiki wa Skylight Band ambapo Jumamosi hii atapatikana mshindi wa taji hilo ndani ya Hoteli ya Hyatt Regency The Kilimanjaro jijini Dar.
DSC_0226
DSC_0071
Mary Lucos akiwaduarisha mashabiki wa Skylight Band kwa hisia kali Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0239
Umati wa mashabiki wa Skylight Band wakiduarika kwa raha zao na burudani kutoka kwa Mary Lucos (hayupo pichani).
DSC_0243
Nyomi ya kufa mtu ni matumaini yangu ya leo itakuwa zaidi ya jana....Karibuni wote mjiachie na Skylight Band ndio habari ya mujini.
DSC_0261
DSC_0139
Sam Mapenzi akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0153
Mashabiki wanaruhusiwa kuja kusheherekea siku zao za kuzaliwa na Skylight Band pamoja na zawadi ya kuimbiwa kama wanavyoonekana pichani wadau kutoka Startimes.
DSC_0159
Birthday girl kutoka Startimes akipetiwa petiwa na marafiki zake waliojumuika nae kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.
DSC_0146
Walimbwende wakiendelea kula bata ndani ya kiota cha Thai Village huku burudani ikiendelea ya Skylight Band.
DSC_0133
William Malecela a.k.a LEMUTUZ akishow love na Mama Chicago.
DSC_0136
LEMUTUZ akiwa na familia ya Chicago Ma-telephone.
DSC_0163
Rais wa Wanamanyoya Justine Ndege akipata ukodak na kijana wake Mary Lucos wa Skylight Band.
DSC_0171
Rais wa Wanamanyiya Justine Ndege akipata ukodak na vijana wake kushoto ni Hashim Donode na Tophy Bass wa Skylight Band.
DSC_0178
Rais wa Wanamanyiya Justine Ndege akipata ukodak na wadau wa shindano la Miss Ilala 2014 linalotarajia kufanyika Jumamosi hii ndani ya hoteli ya Hyatt Regency The Kilimanjaro.
DSC_0238
#MahabaNiuwe# Emma Bass wa Skylight Band akishow love na waubavu wake.
DSC_0228
Wanamanyoya wakiwakilisha vilivyo kwa ukodak.
Next Post Previous Post
Bukobawadau