Bukobawadau

AJALI MBAYA KAHAMA MAPEMA YA LEO


Bus laWibonela (Kahama-Dar)  limepata ajali huko Kahama leo asubuhi,maeneo ya Phantom
 Kibaka aliyekuwa anapekua na kuchomoa fedha na Vitu kwa majeruhi wa ajali apigwa na kuchomwa moto
 Hadi kufikia sasa haijajulikana majeruhi ni wangapi na waliokufa ni wangapi
Picha kwa hisani ya Rafiki Prince kutoka  eneo la tukio
Next Post Previous Post
Bukobawadau