Bukobawadau

''MASIKINI HALALI MCHANA'' WAUZAJI WA VIFAA BORA VYA UMEME MJINI BUKOBA

 Masikini halali mchana  ni duka la umeme limejikita katika usambazaji wa vifaa halisi (Orijino) vya umeme na korokoro zake zote,Ni wauzaji wa rejareja na jumla kwa bei nafuu na stahiki.
 'Masikini halali mchana'wana bidhaa za kutosha za vifaa aina mbalimbali vya Umeme, wanapatikana  Mtaa wa Migeyo ndani ya Manispaa ya Mji Bukoba
 Pichani anaonekana Mkurugenzi wa Duka la 'Masikini halali mchana' akiwa anajifaharisha kuuza vifaa vya umeme vya kisasa vinavyopatikana dukani hapo ambavyo ni pamoja na taa za aina zote, soketi, nyaya ,Solar pamoja na vipozeo umeme mbalimbali
 pia linaweza kuhudumia wateja waliopo nje ya Mji wa Bukoba kwa kufanya mawasiliano ya moja kwa moja kupitia anwani na simu zao. Hivyo wana uwezo wa kukufikishia mzigo ukiwa katika hali nzuri na salama bila kupata tatizo lolote kwani uaminifu kwao ndio kitu cha upekee
 kwa vifaa bora na vya uhakika vya Umeme fika Mtaa wa Migeyo walipo 'Masikini halali Mchana
Jipatie ving;'amzi vya star times Vifaa vya Solar ,Vifaa vya Umeme na Vyombo mbalimbali vya Electroniki ndani ya Masikini halali Mchana
 Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamekuja na mabadiliko ya matumizi ya bidhaa na vifaa vinavyoendana na wakati uliopo sasa hilo linathibitishwa na Masikini halali mchana kwa kuuza bidhaa na mahitaji ya kisasa
 Katika hili na lile kama inavyo onewkana pichani
Hivyo Usihangaike tena kutafuta vifaa umeme pamoja na Ving'amuzi kwani Ukifika 'Masikini halali mchana' unauhakika wa kupata bidhaa bora zenye kiwango kinachokidhi mahitaji
Next Post Previous Post
Bukobawadau