Bukobawadau

R.I.P MAMA MOHAMED JUMA KIKWEMU

Tumepokea kwa masikitiko makubwa sana kifo cha Bi Fatuma Juma Kikwemu (Mama Mohamed ) kilichotokea jana majira ya saa 1 usiku katika Hospitali ya Mkoa Kagera.
Mazishi yatafanyika mchana wa leo Alhamisi kwenye makaburi ya Kishenge Bukoba,baada ya swala ya dhuhuri.

                                  Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau