Bukobawadau

WAHAYA JINA LA MWAKA MPYA 2015 NI "IJUKA" !!

Kama kawaida Wahaya tuna kawaida ya kuibatiza miaka kabla haijaanza. 
Katika muendelezo huo  tayari mwaka mpya wa 2015 umeisha pewa jina nalo ni  'IJUKA' 
Ikumbukwe kila jina huwa na maana halisi kwa kuhusishwa na matukio yaliyojili kwa  mwaka uliopo au hali halisi ya watu na maisha yao katika mchakato mzima wa kimaisha mpaka kuukamilisha mwaka uliopo.

 MWENYEZI MUNGU ATUJALIE TUWEZE KUMALIZA HUU MWAKA SALAMA 'Omukama singa atubeele tugil'emirembe'!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau