Bukobawadau

TUKIO JINGINE LA MAUAJI BUKOBA !

Sehemu ya wananchi pichani na Askari Polisi wakishuhudia mwili wa mtu anayeaminika ameuawa katika eneo la Nshambya karibu na makazi ya Askari polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mjini Bukoba.
Mpaka sasa  Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo (picha na Harakati)
Next Post Previous Post
Bukobawadau