Bukobawadau

MKUTANO MAALUM WA WADAU WA FILAMU ZA MAADILI

WASANII,WATAYARISHAJI, WASAMBAZI,WATAZAMAJI NA WAANDISHI
                            WOTE   MNAKARIBISHWA

Asalaam Alaaikum Warhmatullah Wabarakatuhu
Tunapenda kuwajulisha wadau wa maadili movies nchini kutakuwa na mkutano wa mkubwa utakaofanyika tarehe 31 Mai 2015 kuanzia saa 2.00 asubuhi ukumbi wa Jaffar Complex uliopo  Mnazi mmoja jijini Dar es salaam  
AGENDA ZA MKUTANO
Kuandaa daftar la orodha ya wasanii na kuchagua rasmi aina ya mfumo wa filamu zetu na mengineyo
Kuchagua uongozi wa wa muda uliona mpangilio rasmi na kuupa majukumu likiwepo la
  1. Kuanzisha mtandao wenye hamasa na mwelekeo kwa wassii wote wa maadili Africa mashariki na Africa kwau ujumla
  2. Kushirikiana na kujenga na kuunga mkono kuimarisha soko la filamu
Tunapenda kuaalika waandishi wa habari watunzi waongozaji  wasambazaji na hata watazamaji wa filamu za maadili wasanii wote nchini tunawaalika ila stara ya mavazi kwa wanawake izingatie muhimu kwa wanawake  
"Maadili Movies Lengo ni kusimamia ulinzi wa maadili mema kupitia filamu za Kitanzania, kuazisha, kuendeleza na kuhamsisha uwepo na ukuwaji wa filamu zenye heshima, zinazozingatia maneno, matendo na mavazi yenye maadili."
Tuwe pamoja wana

  • BURUNDI
  • RWANDA 
  • KENYA
  • UGANDA
  • CONGO
  • TANZANIA na AFRICA KWA UJUMLA
Kwa mawasiliano ya simu kwa wale watakaoshiriki kutoka nchi tofauti tofauti pamoja na nchini ,Tafadhali tuwasiliane kwa simu kwa namba zifutazo:
Next Post Previous Post
Bukobawadau