Bukobawadau

MAUAJI YA GARISSA :MTANZANIA AKAMATWA !

 Picha ya mtuhumiwa anaye semekana kuwa Mtanzania
Taarifa iliyopo inasemaa kuna Mtanzania mmoja kati ya washukiwa wanne waliokamatwa wakiwa hai kwa kukishambulia Chuo kimoja kikuu nchini Kenya na kuwaua watu 147 wengi wao wakiwa wanafunzi !
CHANZA:BBC WORLD NEWS
Next Post Previous Post
Bukobawadau