Bukobawadau

MKURENZI WA UTAWALA WA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UBELIGIJI

Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma Mhe. Nyakimura Muhoji (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania Ubeligiji baada ya kumaliza kikao nao Brussels Ubeligiji. Wa pili kutoka kushoto Ni Bwana Festo Kipate Afisa Mhandamizi kutoka Wizara ya Fedha na wa tatu kutoka kushoto ni Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala, Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya.
Next Post Previous Post
Bukobawadau