Bukobawadau

TBL YAFANIKISHA SIKU YA SHAYIRI MONDULI

 Meneja Mradi wa Kilimo cha Shayiri TBL Dk. Basson Bennie akitoa elimu kwa wakulima na wadau mbalimbali namna sahihi ya kuandaa, kupanda zao la Shayiri wakati wa Siku ya Mkulima wa Shayiri iliyofanyika juzi wilayani Monduli mkoani Arusha.
 Afisa Ugani Nyanda za Juu Kusini, Makambako, Iringa Njombe, Rukwa na Mbeya Paul Antapa mwenye fulana nyekundu akimkaribisha Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoani Arusha Jowika Kasunga wakati wa Siku ya Wakulima wa Shayiri iliyofanyika Monduli Juu pembeni yao ni Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia nchini (TBL), Edith Mushi.
Meneja wa Kiwanda cha TBL Arusha Salvartory Rweyemamu akibadilishana mawazo na Mkuu wa wilaya ya Monduli Jowika Kasunga wakati wa Siku ya Mkulima wa Shayiri iliyofanyika juzi kwenye mashamba ya wakulima hao yaliyopo Kata ya Monduli Juu.
 Baadhi ya wakulima wa Shayiri wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye Siku ya Mkulima wa Shayiri na  Wataalamu mbalimbali wa kilimo walioalikwa na Kampuni ya Bia nchini TBL.
 Baadhi ya wakulima na wadau wa Kilimo cha Shayiri wakifuatilia maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Kilimo cha Shayiri kutoka TBL Dk. Basson Bennie alipokuwa akitoa elimu ya namna sahihi ya kuandaa shamba kabla ya kupanda wakati wa Siku ya Mkulima wa Shayiri iliyofanyika Monduli mkoani Arusha.
 Baadhi ya wakulima na wadau wa Kilimo cha Shayiri wakifuatilia maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Kilimo cha Shayiri kutoka TBL Dk. Basson Bennie alipokuwa akitoa elimu ya namna sahihi ya kuandaa shamba kabla ya kupanda wakati wa Siku ya Mkulima wa Shayiri iliyofanyika Monduli mkoani Arusha.
 Afisa Ugani Nyanda za Juu Kusini, Makambako, Iringa Njombe, Rukwa na Mbeya Paul Antapa akimsaidia kufungua bomba la dawa Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Monduli Juu Barick Kivuyo baada ya kukabidhiwa mabomba 10 na Kiwanda cha TBL, katikati yao ni Mkuu wa wilaya ya Monduli Jowika Kasunga aliyekuwa mgeni rasmi kwenye Siku ya Mkulima wa
Shayiri iliyofanyika wilayani hapa.
 Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoani Arusha Jowika Kasunga akijaribu kuponyeza udongo ili kuonyesha tofauti kati ya udongo wa shamba unaotakiwa na usiotakiwa wakati wa utoaji elimu kwa wakulima kwenyeSiku ya Mkulima wa Shayiri iliyofanyika Monduli Juu mkoani Arusha na kuwandaliwa na Kampuni ya Bia ya nchini (TBL)
 Meneja Mradi wa Shayiri Dk. Basson Bennie akijaza maji kwenye chupa za plastiki kwa ajili yakuwaonyesha wwakulima wa shayiri namna ya kupima udogo wa shambani.
Baadhi ya wadau na wakulima wa Shayiri wakifuatilia maelezo kutoka kwa mtalaamu hayupo pichani wakati wa Siku ya Mkulima wa Shayiri iliyofanyika wilayani Monduli juzi na kuandaliwa na
Kampuni ya Bia nchini (TBL).
Next Post Previous Post
Bukobawadau