Bukobawadau

Misa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa Saturday August 8th, 2015 at 4Pm

MISA YA Shukurani Kutimiza siku Arubaini (40) ya MAREHEMU Mzee Samuel Mtabala LUANGISA- New York
Saturday August 8, 2015.
Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya Shukurani au Arubaini ya Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83),
Siku: Saturday August 8th, 2015 Saa: 4pm
Address: Luangisa Residence: 374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Misa itaongozwa na Mchungaji Mama Butiku
Mpe taarifa mwenzako wote karibuni. Kwa taarifa zaidi wasikiana na:
1. Prof. K. Lwiza 631-273-3859
2. Dr. Abas Byabusha 914-584-7502
3. Shabani Mseba 347-712-8539
4. Hajj Khamis 347-623-8965

Kwa Mara nyingine familia ya Bwana Luangisa inawashukuru wote ushirikiano na upendo wenu wote.
Tumsifu Yesu Kristo, Amen!
Next Post Previous Post
Bukobawadau