Bukobawadau

TUNAWATAKIA WATU WOTE IDD NJEMA

 BUKOWADAU MEDIA , tunawatakia waislamu wote na wasomaji wetu popote duniani siku kuu ya njema yenye kheri na baraka.
Tunamuomba Mola wetu mlezi awarehemu wazee wetu wote waliotangulia mbele ya haki na awasamehe makosa yao.
“sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu ambaye ni vyake vyote vilivyomo Mbinguni na Ardhini. Na Akhera, sifa njema ni zake pia; Naye ni Mwenye Hekima na Mwenye Ujuzi wa kila jambo”.
Kwa utukufu wako huo tunakuomba Allah tuondolee madhila, maradhi na kila lililobaya kwetu waja wako wote, tutie imani ya kukutumikia wewe na utupe mwisho mwema hapa duniani na utufunike na rehma zako kesho akhera ili tuwe wenye kufuzu.
IDD MUBARAAK .
Next Post Previous Post
Bukobawadau