Bukobawadau

MWANAMITINDO JOCKTAN MAKEKE KUWAKILISHA TANZANIA KWENYE MASHINDANO YA TDWFS NCHINI AFRKA KUSINI

 Msanii wa mitindo ya kiafrika kutoka Tanzania JOCKTAN WA MAKEKE AFRIKA ambaye amekuwa tishio katika mitindo ya asili ya mwafrika ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika majukwaa mbalimbali ndani na nje ya nchi , kama unakumbuka mwezi wa saba alituwakilisha vyema Jijini Nairobi na kuonekana mwanamitindo bora sasa.
  Msanii huyu ambaye ndio mwanzilishi ya kampuni ya MAKEKE AFRIKA CO.  LTD atapanda tena jukwaani mwezi huu nchini Afrika Kusini kufanya maajabu kwa mara nyingine katika shindano hili kubwa la mitindo nchini Afrika kusini, JOCKTAN WA MAKEKE AFRIKA amesema kuwa sasa anakuja na collection nyingine mpya inayokwenda kwa jina la TABID - THE AFRICAN BEAUTY IN THE DARKNESS  ambayo itaonekana katika jukwaa hilo la TDWFS - the designers walk fashion show hivi karibuni.
       ABOUT  THE DESIGNERS WALK FASHION SHOW
This is an event, hosted by Auriginal PTY.(LTD), that brings together aspiring models and designers to compete and showcase their talents and innovation.
The Designers Walk fashion show is an event founded to serve as a platform for rising models and designers. By means of a competition, we have the judges and the people to evaluate the best. However, the decision of who the best doesn't end ones opportunities. 
aside from models and designers, we have rising entertainers coming to the table, to expand their horizon and to keep you on your toes during the event. With interested people, their opportunities can also expand.
Next Post Previous Post
Bukobawadau