Bukobawadau

MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI UGANDA

11:26 Tume ya Uchaguzi imetoa mkumbo wa pili wa matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais ambayo yanaonesha Rais Yoweri Museveni ameweka pengo la kura milioni moja kati yake na Dkt Kizza Besigye.

Matokeo kwa sasa ni kama ifuatavyo:
Matokeo kwa sasa (Vituo 10,246 kati ya 28,010)
Abed Bwanika 35,487
Amama Mbabazi 60,694
Baryamureeba Venasius 23,380
Benon Biraaro 11,176
Kizza Besigye 1,182,025
Joseph Mabirizi 10,266
Maureen Kyalya 18,444
Yoweri Museveni 2,191,283
Chanzo: Tume ya Uchaguzi Uganda (EC)
Next Post Previous Post
Bukobawadau