Bukobawadau

MAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA ALISTIDES SELESTIN KIJIJINI KIHUMURO NSHAMBA


Katika picha ni shughuli ya Mazishi ya Marehemu Alistides Selestin, yaliyofanyika Kijijini Kihumuro Nshamba Wilayani Muleba mwishoni mwa Juma lililopita na kuhudhurio na watu wengi.
Shughuli ya mazishi hayo yameongozwa na Padre Malisel Buberwa wa Parokia ya Rubya
Umati wa Waombolezaji wakiendelea kushiriki Shughuli ya Ibada ya Mazishi ya Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini Kihumuro Nshamba


Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika shughuli ya kumuaga na maziko ya Marehemu Alistides
Sehemu ya wanafamilia wakiendelea kushiriki Ibada ya mazishi ya mpendwa wao Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini Kihumuro Nshamba

Umati wa waombolezaji wakati Ibada ikiendelea.

Jeneza lenye mwili wa Marehemu Alistides Selestin likiwa ukumbini wakati Misa inaendelea
Hakika kila mtu anaonekana mwenye huzuni mkubwa kufuatia msiba huu
Watu kutoka Maeneo ya Mijini na Vijijini wameweza kuhudhuria shughuli ya mazishi hayo
Hakika watu ni wengi kweli kweli kama inavyojionyesha kupitia picha
Wakati neno la Bwana likisomwa

Waumini wa Kikatoliki wakiendelea kushiriki Ibada ya mazishi
Muendelezo wa matukio ya picha yaliyojiri katika Shughuli ya mazishi ya Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini kwao Kihumuro Nshamba

Padre Malisel Buberwa akiendelea kuongoza Ibada

Mazishi ya Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini kwao Kihumuro Nshamba

Ni simanzi na huzini kwa rafiki wa marehemu Alistides Selestin pichani

Wanakwaya wakiimba nyimbo za kumsifu Bwana
Muendelezo wa matukio zaidi ya picha yanapatikana katika ukurasa wetu wa facebook

Waombolezi katika Shughuli ya mazishi ya Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini kwao Kihumuro Nshamba
Umati wa waombolezaji wakishiri Ibada hiyo iliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini Kihumuro Nshamba

Baadhi ya Waombolezaji wakiendelea kushiriki Shughuli ya Ibada ya mazishi ya Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini Kihumuro Nshamba

Mdau kutoka Kamachumu akiwasili kushiriki shughuli ya mazishi hayo
Wanafamilia wakitoa heshima za mwisho kuuaga mwili wa Mpendwa wao

Waombolezaji wakiendelea na zoezi hili la kutoa heshima za mwisho

Kaka Deo ambaye akiongozana na Mdogo wake Lutta kutoa heshima zao za mwisho
Zoezi la kutoa heshima za mwisho likiendelea.

Utaratibu wa kutoa heshima za mwisho ukiwa unaendelea
Mama mzazi wa Marehemu Marehemu Alistides Selestin akitoa heshima zake za mwisho


Mzee Lwakatare wa Nshamba Muleba
Taswira mbalimbali msibani hapo.

Poleni sana wafiwa Timu ya Bukobawadau Media inawaombea kuwa na moyo na uvumilivu na subra hususani katika kipindi hichi kigumu.
Ndugu wa familia wakishiriki mazishi ya Mpendwa wao Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini Kihumuro Nshamba
Eneo la Makaburi yanaonekana makundi mbalimbali ya watu katika kushiriki mazishi  ya Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini kwao Kihumuro Nshamba

'Abanyansi' walioweza kushiriki Mashishi ya Marehemu Alistides Selestin wakiwa katika hali ya sintofahamu.
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Alistides Selestin likiwa tayari eneo la Makaburi
Misa ikiendelea eneo la kaburi
R.I.P mpendwa Kaka yetu Marehemu Alistides Selestin
Padre Malisel Buberwa akinyunyuzia maji ya uzima kwenye kaburi

Waombolezaji wakishiriki kuweka Udongo kwenye kaburi la Marehemu Alistides Selestin
Zoezi la kuweka Udongo kwenye kaburi likiendelea
Mjomba wa Marehemu Alistides Selestin akiweka shada la maua

Shangazi yake  Marehemu Alistides Selestin mara baada ya kuweka shada la maua
Utaratibu wa kuweka mashada ya maua ukiendelea kwa wanafamilia
Pichani anaonekana Mtoto pekee wa Marehemu Alistides Selestin,Rwekaza Alistides.
Pichani wanaokana Ndugu Lutta na Ndugu Deo ambao ni kaka wa Marehemu Alistides Selestin wakiweka shada la maua
Muonekano wa nyumba ya Milele ya Marehemu Alistides Selestin
Katika picha ya pamoja ni watoto 9 kati ya 10 wa kuzaliwa katika familia ya Marehemu Mzee Selestin wakiwa na mama yao Mzazi Ma' Paulina pichani kulia (waliokaa)
Wanafamilia katika picha ya pamoja
Kama ilivyo mila na desturi kwa Wahaya ule Utaratibu wa Vyama vya kusaidiana ukiendelea kwa kuleta Kuni na ndizi .
Hawa ni baadhi ya Wakwe wa familia iliyopatwa na msiba huu

Mengineyo mara baada ya kumaliza Shughuli ya mazishi ya mpendwa wetu Marehemu Alistides Selestin

Mtu na Mkwe wake wakibadilishana mawazo mara baada ya Shughuli ya mazishi
BUKOBAWADAU MEDIA tunapenda kutumia fursa hii kukufahamisha kuwa tunao uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote dunia waweza kuwasiliana nasi kupitia namba +255 784 505045,0754 505043,0715 505043 ,0768 397241
Taswira mbalimbali eneo la tukio shughuli ya mazishi ya Marehemu Alistides Selestin yaliyofanyika siku ya Jumamosi April 2,2016 Kijijini kwao Kihumuro Nshamba
Bukobawadau Media tunatoa pole kwa wafiwa wote na mungu ailaze mahala pema peponi Roho ya Marehemu Alistides Selestin AmeeN!!

Mwisho Wasifu wa Marehemu ukisomwa na Mdogo wake Justus Mwemezi.
Next Post Previous Post
Bukobawadau