Bukobawadau

AJALI YA LORI YATOKEA LEO MJINI BUKOBA AUG 14

Ajali ya Roli imetokea Usiku wa kuamkia leo Mjini Bukoba eneo la Rwamishenye (round about)tunaendelea kufatilia taarifa rasmi zinasema mtu mmoja amepoteza maisha
Taarifa zinasema mtu mmoja (mwanamke )ameoteza maisha baada ya kufikishwa katika Hospital ya Mkoa kutokana na kuvuja damu nyingi katika jeraha alilolipata kichwani na wengine wawili Dereva na Tingo wamejeruhiwa
Kijana akizoa pumba zilizokuwa zimepakiwa kwene Gari hilo
 Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi..
Next Post Previous Post
Bukobawadau