Bukobawadau

MH.LWAKATARE ATEMBELEA JIMBO LAKE NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO LEO AUG 11.

 Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Mh. Lwakatare leo Alhamis Aug 11, ameongozana na Kamati ya Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo (CDF) kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo jimboni humo itokanayo na mfuko huo na miradi mingine inayohitaji msukumo na kuongezewa nguvu kutoka Serikalini.
 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba,Chief Kalumuna akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mh.Mbunge wa Bukoba Mjini (Chadema), Wilfred Lwakatare
Mh. Lwakatare akiongea mbele Uongozi wa Shule ya Msingi Kyaikalabwa na wajumbe wa kamati ya Mfuko wa Jimbo alio ongozana nao ambapo shule hiyo uliweza kupokea jumla ya madawati 40
Mh. Lwakatare akisalimia na kumpongeza Afisa Mtendaji wa Kata ya Nyanda Leonard L.Kamuzora pichani kushoto
Mh. Chief Kalumuna akitoa neno la shukrani kwa Mh. Lwakatare kwa ushirikiano mkubwa anao endelea kuonesha ndani ya Jimbo lake
Pichani anaonena Bwana Alex ambaye ndiye Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini
Muonekano wa Madawati 40 kutoka katika fedha za Mfuko wa Jimbo
Pichani ni Kushoto ni Mtendaji wa Kata ya Buhembe , Amfle Mbese akikabidhi taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Mfuko wa Jimbo kwa Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Mh. Lwakatare 
Mradi wa kuinua Vyumba Viwili vya Madarasa katika shule ya Msingi Buhembe
Muonekano wa ndani ya Chumba cha Darasa kilichokamilika kutoka na fedha za Mfuko wa Jimbo,katika shule ya Msingi Buhembe
 Bwana George Bwatani Diwani wa Kata ya Nyanga akielezea utekelezaji wa mradi wa fedha za Mfuko wa Jimbo
 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba,Chief Kalumuna pichani kushoto
 Mh. Regna Diwani wa Viti Maalum
 Madhari kuzunguka mazingira ya shule ya Msingi Buhembe
 Mazingira ya shule ya Msingi Buhembe
 Mmoja wa walimu ya shule ya Msingi Buhembe
 Diwani wa kata ya Kashai Mh. Kabaju N. Abdulkadir

 Taarifa ya fedha ya Mradi wa Mfuko wa Jimbo katika kata ya Rwamishenye
 Taarifa ya kupokea madawati  yatokanayo na fedha za mfuko wa Jimbo katika shule ya Msingi Kyakailabwa
 Taarifa ya matengenezo ya Mradi wa Barabara ya Makongo katika kata ya Kahororo
Taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Mfuko wa Jimbo katika kata ya Bakoba
Hii ni taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Ununuzi wa Madawati pamoja na kuinua Vyumba Viwili vya Madarasa katika shule ya Sekondari Kibeta.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Makongo akitolea jambo ufafanuzi
Mh. Mbunge akiendelea kukagua maeneo mbalimbali
Fukweni Karobela Kahororp
Mh. Chief Kalumuna akitoa Ishara kuhusu ya jambo fulani
 Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Mh. Lwakatare akielezea fursa za uwekezaji zinazoweza kupatikana katika eneo hilo kutokana na uwepo wa barabara inayopitika Vizuri
Katikati ya mtaa wa Makongo katika kata ya Kahororo
 Matengezo ya barabara yakiendelea katika kata ya Kahororo,kata ya Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba,Chief Kalumuna


Wananchi wa Mitaa va Makongo na Bushwa vilivyopo katika kata ya kahororo
Mh. Lwakatare akiongea na Wananchi wa Vijiji va Makongo na Bushwa vilivyopo katika kata ya kahororo mapema ya leo Aug 11,wakati akikagua miradi mbalimbali ya maendeleo
 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba,Chief Kalumuna akioa ufafanuzi kuhusu mradi wa Ofisi ya Kijiji unao endelea....
 Jengo la Ofisi ya Kijiji Ujenzi ukiendelea
 Wajumbe walio ongozana na Mbunge wakimsikiliza kwa makini
 Mkazi wa Bushwa Kahororo
 Baadhi ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Mbunge wao Mh. Lwaks mapema ya leo Aug 11
 Mjumbe wa Mtaa wa Makongo pichani wakati wa Utambulisho
 Meya wa Manispaa ya Bukoba Mh.Chief Kalumuna t. John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi
 Jengo la Ofisi ya Afisa Mtendaji Mtaa wa Bushwa na Makongo
 Mh. Chief Kalumuna akiwaelezea wananchi wa Mtaa wa Bushwa na Makongo namna alivoweza kama Diwani kutengeza  barabara kwa kutumia fedha zake binafsi na kumshuru Mh. Mbunge kwa kuchangia Shs  milionni moja (1,ooo,ooo)
 Mandhari nzuri yeneye kuvutia ukiwa maeneo ya Kahororo
Mh. Lwaks akifurahia mandhari na upepe wa ziwa Victoria pembezoni mwa fukwe za Kalobera kata ya Kahororo Manispaa Bukoba
Next Post Previous Post
Bukobawadau