Bukobawadau

R.I.P BI ESTHER JOSEPH RWEGASIRA

R.I.P Diwani msitaafu kata Kanyiko Bi Esther Joseph Rwegasira.
Kifo kimetokea alfajiri yatarehe 27 Aug huko nchini India alipokuwa anapatiwa matibu.

Mwili wake umewasili Jijini Dar Jioni ya leo Jumanne Aug 30 ,mwili wa Marehemu Bi ESther utalala katika hospitali ya Lugalo mpaka siku ya kesho Jumatano itakapofanyika Ibada maalum (last respects ) katika kanisa la St.Peters church Jijini Dar na kufatiwa na Safari ya kuelekea Bukoba .
Mwili wa Marehemu Bi Esther Rwegasira utawasili siku ya Alhamisi Saa 7:30 mchana katika Uwanja wa Ndege Mjini Bukoba na mazishi yatafanyika siku ya Ijumaa Tarehe 2 Aug Nyumbani kwake Kijijini Kanyigo.

#Bukobawadau Media tunatoa pole kwa wafiwa wote!
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau