Bukobawadau

R.I.P REGENDARY RAMADHAN JUMA

Pigo jingine kwa mashabiki wa soka Mkoani Kagera na Taifa kwa ujumla baada ya kumpoteza mdau mkubwa ,aliyekuwa mchezaji wa Zamani RTC ,Mwl wetu na Mwl wa timu ya Under 20 msimu huu KAGERA Sugar Fc ,Regendary Rama aka Rama Mtoto hatupo nae tena
Next Post Previous Post
Bukobawadau