Bukobawadau

TAARIFA:RAIS MAGUFULII APOKEA TAARIFA YA MAAFA KAGERA

 Rais Magufuli apokea taarifa ya maafa Kagera. Museveni achangia Tshs 437,000,000 kwa wahanga
Taarifa kwa Vyombo vya habari :Waliokufa kufuatia Tetemeko la Ardhi ni 17, majeruhi 440. Nyumba 2,063 zimeanguka na 14,081 ni hatarishi. Rais Museveni achangia milioni 437.
-Rais Magufuli aonya wanaokusanya michango kwa lengo la kujinufaisha.
Next Post Previous Post
Bukobawadau