Bukobawadau

TETEMEKO LA ARDHI RUKWA

 TETEMEKO RUKWA: Tetemeko la ardhi la ukubwa wa 5.7 limetokea huko Sumbawanga mkoani Rukwa usiku wa kuamkia leo, RPC George Kyando asema hakuna madhara yaliyoripotiwa #GazetiNiMwananchi
Next Post Previous Post
Bukobawadau