Bukobawadau

ATHARI YA MAZINGIRA BAADA YA MVUA YA MAFURIKO BUKOBA



Athari ya mazingira kandokando mwa ziwa Victoria kutokana na mvua kubwa zilizonyesha maeneo mbalimbali mkoani Kagera siku ya jumapili April 9,2017 na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo


Mvua hizo zimesababisha madhara makubwa ikwemo uharibifu wa miundombinu,(Soil erosion) ,Uharibifu wa mazao pamoja na mali mbalimbali za wananchi.


Hapa ni Spice Beach Motel,Bukoba

Soil erosion

Soil erosion pembezoni mwa ziwa victoria Bukoba
Next Post Previous Post
Bukobawadau