Eneo la Bulila Kemondo Bukoba Vijijini ,Barabara ikiwa imekatika kufuata Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kuleta usumbufu kwa abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Wananchi wanatakiwa kuchukua tahadhari katika kipindi hichi cha mvua zinazoendelea kunyesha.
#Bukobawadau #May12,2017
0 comment:
Post a Comment