Bukobawadau

TANZIA:KIFO CHA PHILEMON NDESAMBURO

#TANZIA:Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi mjini na Mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro (CHADEMA) Philemon Ndesamburo amefariki ghafla wakati alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC,Moshi.
Next Post Previous Post
Bukobawadau