Bukobawadau

MH RAIS WA JAMUHURI YA BURUNDI AWASILI NCHINI KWA ZIARA RASMI NA KUPOKELEWA NA MWENYEJI WAKE MH RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI - NGARA MKOANI KAGERA JULAI 20,2017


Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akiwasalimia wananchi wa Mji wa Ngara  kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara  20 Julai 2017

Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza Akihutubia  wananchi wa Mji wa Ngara  kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera  20 julai 2017
Rais  wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara baada ya  Rais wa Burundi kuwahutubia wananchi wa Mji wa Ngara kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara  20 julai 2017

Rais  wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mji wa Ngara  kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera  20 Julai 2017
Rais  wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mji wa Ngara  kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera  20 Julai 2017
Rais  wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akiwapungia wananchi alipowasili katika viwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akikagua graride la lililoandaliwa na jeshi la ulinzi la Tanzania JWTZ katika viwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara baada ya Kumpokea katika Uwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akiwasalimia wananchi wa Mji wa Ngara  kwenye uwanja wa Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiteta Jambo na Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza Mara baada ya kumpokea katika Mji wa Ngara  kwenye uwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha  Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza kwa maongezi  mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na ujumbe wake katika mazungumzo maalum ya kiserikali na Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza  na ujumbe wake Mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na ujumbe wake katika mazungumzo maalum ya kiserikali na Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza  na ujumbe wake Mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza pamoja na mama Janeth Magufuli katika Maongezi

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na mgeni wake Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza wakiwapungia mikono wananchimwa mji wa ngara wakati wakiwasili katika uwanja wa posta mjini Ngara kwa ajili ya mkutano wa hadhara

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na mgeni wake Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza wakiwapungia mikono wananchi wa mji wa Ngara waliohudhulia  katika uwanja wa posta mjini Ngara kwa ajili ya Mkutano wa hadhara

Umati wa ananchi wa mji wa Ngara waliohudhulia  katika uwanja wa posta mjini Ngara kusikiliza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa posta mjini Ngara julai 20,2017

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mgeni wake Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza katika uwanja wa Lemela Mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017 baada ya kumaliza ziara yake Rasmi ya kiserikali Nchini

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mgeni wake Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza katika uwanja wa Lemela Mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017 baada ya kumaliza ziara yake Rasmi ya kiserikali Nchini
 



Next Post Previous Post
Bukobawadau