Bukobawadau

KHERI YA SIKU YA KUZALIWA MC BARAKA

Leo Aug 23 ni siku ya kuzaliwa kwake Blogger Mc Baraka #Bukobawadau napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mola kwa kuendelea kunijalia mpaka kufika hapa nilipo.
Shukrani kwa Wazazi/Walezi kwa yote.Nathamini na kukumbuka mengi sana hasa Maneno yenu/Wosia,Upendo ,Ukarimu na Faraja zenu ...Sina lakusema zaidi ya Asanteni na nawaombea kila jema,Inshallam Mwenyezi Mungu azidi kuwajalia afya njema
Shukrani za dhati kwa Ndugu,Jamaa,Marafiki, kwani kwenye Safari ya Maisha yangu nimekutana Ndugu wengi ambao si wakuzaliwa nao kutoka Tumbo Moja /Ukoo mmoja,Lakini kwangu nawathamini sana natambua sana uwepo wenu ,Ni vigumu kutaja kila mmoja lakini wenyewe mnajijua kwa pamoja nasema Nawapenda sanaaa.!Na namshukuru Mungu kwa kunipa watu...!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau