Bukobawadau

DK. KIGWANGALLA AFUNGA MAFUNZO YA 15 YA JESHI USU KWA MAAFISA WANYAMAPORI WA TAWA, TANAPA NA NGORONGORO MKOANI KATAVI

Tangu kuanzishwa kwa mafunzo hayo Septemba 2015 jumla wahifadhi 1468 wakiwemo Askari wa Wanyamapori na Viongozi mbalimbali kutoka TAWA, TANAPA na NGORONGORO wameshapatiwa mafunzo hayo katika kituo hicho cha Mlele.  
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (wa pili kushoto) akikagua gwaride la Maafisa wa Wanyamapori 87 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania– TAWA, Shirika la Hifadhi za Taifa – TANAPA na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro muda mfupi kabla ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu jana katika kituo cha Mlele mkoani Katavi. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Maafisa wa Wanyamapori 87 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania– TAWA, Shirika la Hifadhi za Taifa – TANAPA na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro muda mfupi kabla ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu jana katika kituo cha Mlele mkoani Katavi. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza wakati wa kuhitimisha mafunzo hayo. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, Dk. James Wakibara wakati wa hafla hiyo. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Rachel Kasanda. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akimkabidhi cheti mmoja ya wahitimu wa mafunzo ya Jeshi Usu kati ya Maafisa wa Wanyamapori 87 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania– TAWA, Shirika la Hifadhi za Taifa – TANAPA na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro jana katika kituo cha Mlele mkoani Katavi.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, Dk. James Wakibara akitoa nasaha zake kwa wahitimu wa mafunzo hayo.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (katikati) akipokea salamu za Jeshi Usu wakati wa kuhitimisha mafunzo hayo.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akipokea salamu za Jeshi Usu wakati wa kuhitimisha mafunzo hayo. Kulia ni Mkufunzi Mwandamizi wa Mafunzo hayo, Fidelis Kapalata.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (wa pili kulia) akiangalia onesho la kulenga shabaha liliofanywa na Maafisa wa Wanyamapori 87 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania– TAWA, Shirika la Hifadhi za Taifa – TANAPA na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro muda mfupi kabla ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu jana katika kituo cha Mlele mkoani Katavi. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Rachel Kasanda na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA, Dk. James Wakibara. 
Maonesho ya klenga shabaha.
Maonesho ya klenga shabaha.
Maonesho ya klenga shabaha.
Baadhi ya wahitimu wa mafunzo hayo.
Baadhi ya wahitimu wa mafunzo hayo.
Mhifadhi Gloria Bidebeli kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA akisoma risala ya wahitimu hao.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akiaga baada ya hafla hiyo.
Picha ya pamoja.
Picha ya pamoja.
Next Post Previous Post
Bukobawadau