Bukobawadau

IBADA MAALUMU KUANUA MATANGA YA LILIAN GEOFREY NJUNWAS KIJIJINI KANYIGO DES28,2017


 Familia ya marehemu Herman Kiiza Njunwas wa Kanyigo imeungana na ndugu jamaa na marafiki katika Ibada maalumu kuanua matanga kifo cha Bi Lilian Geofrey Njunwa aliyekuwa mke wa kaka yao Bwana Geofrey Njunwas pichani ykushoto ,Shughuli iliyofanyika Des.28,2017.
Mwenyezi Mungu mwingi rehema awatangulie katika kumuombea mpendwa wetu Liliani aliyetangulia mbele ya haki Tar 4.10.2017 na yeye mwenyewe aliyemuita ampe pumziko la milele,Amina!!!
 Wachungaji wakiendelea kuongoza Ibada maalumu ya kuanua matanga ya Bi Lilian Geofrey Njunwas
 Waumini wakiendelea kushiriki Ibada hiyo.
Ibada ikiwa inaendelea kijijini hapo .

Poleni sana ndugu kwa kumpoteza mpendwa wetu,wifi yenu Lilian.
 Muonekano wa Kaburi la mpendwa Bi Cornelia Kiiza Njunwas
 Marafiki wa familia wakiwasili kijijini Bukombe kwa ajili ya kushiriki Shughuli hiyo
 Mchungaji akiendelea kuongoza sehemu ya Ibada

Waumini wakiendelea kushiriki Ibada hiyo
Waumini wakiendelea kushiriki Shughuli ya kuanua matanga ya Bi Lilian Geofrey .
Bwana Geofrey Njunwas mme wa Marehemu Lilian Geofrey Njunwas,tunamuomba Mungu azidi kukupa nguvu kaka yetu.
 Wajukuu wa marehemu Bi Cornelia Njunwas wakiendelea kushiriki Ibada .
 Wanakwaya wakiimba nyimbo za kuabudu

 Utaratibu wa kutoa sadaka ya shukrani
 Utaratibu wa kutoa sadaka ukiwa unaendelea
 Utaratibu wa kutoa sadaka ukiwa unaendelea
 Wanafamilia wakiwa mbele yaMchungaji kwa ajili ya kuzipokea baraka
 Wanafamilia wakiwa mbele yaMchungaji kwa ajili ya kuzipokea baraka
 Dr.Iganga ambaye ndiye mlezi wa familia hii akitoa utambulisho kwa wanafamilia
Kinachoendelea ni utambulisho kwa wanafamilia wote
Kinachoendelea ni utambulisho kwa wanafamilia wote
 Utambulisho kwa wanafamilia ukiendelea
 Mama Nice pichani rafiki wa familia

 Sehemu ya wajukuu wa Marehemu Bi Cornelia Njunwas
Taswira mbalimbali shughuli ikiwa inaendelea
Pole sana Dada Jovitha kwa msiba huo mkubwa wa Wifi yako Bi Lilian Geofrey Njunwas
 Wanafamilia wakiendelea kuchangia Ujenzi wa Kanisa unaoendelea kijijini hapo


Msemaji wa familia akitolea jambo ufafanuzi mara baada ya shughuli ya Ibada
 Wageni kutoka Nshamba-Muleba wameweza kuungana na familia katika shughuli hii iliyofanyika alhamisi Dec 28,2017 Kijijini Kanyigo
 Utambulisho ukiwa unaendelea kwa kuzingatia makundi mbalimbali
 Bi Achi Hamis rafiki wa familia ya marehemu mzee Herman Kiiza Njunwas
 Mama Nice ambaye ni rafiki wa familia wakati wa utambulisho
 Bi Jovitha Njunwas akitoa neno la shukrani kwa wageni wote kutoka maeneo mbalimbali walioweza kushiriki nao katika Ibada maalumu ya kuwalemu wazazi wao na kumaliza matanga ya Wifi yao Bi Lilian Geofrey Njunwas,shughuli iliyofanyika Kijijini Kanyiko siku ya alhamisi Dec28,2017.
 Wanafamilia wakipata picha kwenye kaburi za wazazi wao wapendwa ,tunamuomwa Mola aliyewaita awape pumziko la milele, Amina...
 Bi Jovitha kiwa katika picha ya pamoja nashost wake Mama Nice 'Mka Deo'
 Bro Geofrey  Njunwas akisalimiana na jirani yao kijijini hapo
 Tukio la kupata huduma ya Chakula
 Ni wakati wa wageni wote kupata hudma ya chakula kilichoandaliwa
Waalikwa wakipata huduma ya Msosi 
 Baadhi ya waalikwa wakati wakiondoka mara baada ya shughuli kukamilika
 Waalikwa wakiendelea kupata Vinjwaji vya kila aina katika kuhitimisha shughuli hiyo iliyofanyika juzi alhamisi Dec28,2017 Kijijini Kanyigo
 Waalikwa wakiendelea kupata Vinjwaji vya kila aina katika kuhitimisha shughuli hiyo iliyofanyika juzi alhamisi Dec28,2017 Kijijini Kanyigo
 Wapumzike kwa Aani wapendwa wetu
 Familia ya marehemu Herman Kiiza Njunwas wa Kanyigo imeungana na ndugu jamaa na marafiki katika Ibada maalumu kuanua matanga kifo cha Bi Lilian Geofrey Njunwa aliyekuwa mke wa kaka yao Bwana Geofrey Njunwas wa pili pichani kutoka kulia Njunwa.Shughuli iliyofanyika Des.28,2017
Mwenyezi Mungu mwingi rehema awatangulie katika kumuombea mpendwa wetu Liliani aliyetangulia mbele ya haki Tar 4.10.2017 na yeye mwenyewe aliyemuita ampe pumziko la milele,Amina!!!
Muendelezo wa picha kwa ajili ya kumbukumbu
 Wanafanilia wakiwa katika picha ya pamoja kwenye kaburi za wapendwa wao
 Matukio ya picha mbalimbali kwa ajili ya kumbukumbu
Matukio zaidi ya picha  yanapatikana katika ukurasa wetu wa facebook Mungu ampe pumziko jema la milele Mpendwa wetu Lilian Geofrey Njunwas
Next Post Previous Post
Bukobawadau