Bukobawadau

MKURUGENZI WA BUKOBA CROSS CULTURE &TOURS NA FURSA YA UWEKEZAJI MKONI KAGERA

 Mkurugenzi wa Kamopuni ya Utalii Ndugu William Oswald Rutta  amekutana na kuzungumza na Wafanyabiashara kutoka nchini Rwanda na kuwaelezea fursa zilizopo mkoani Kagera na kuwakaribisha kuja kuwekeza
 Wageni hao kutoka Nchini Rwanda walipata fursa ya kuzungumza na wafanyabiashara wa Mjini hapa na kuelezea fursa mbalimbali zilizopo na namna gani zinaweza kuchangamkiwa.
Ndugu Karim Amir ni kati ya wafanyabiashara waliokutana na Wageni kutoka nchini Rwanda waliofika Mjini hapa kwa ajili ya kushiriki Wiki ya Uwekezaji Mkoani Kagera,Mkoa wenye fursa kubwa ya uwekezaji kwenye viwanda vya kukoboa na kusindika kahawa.
 Utambulisho ukiendelea
 Ni wakati wa kuchangamkia furasa kwa wanagakera



Next Post Previous Post
Bukobawadau