IBADA YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE NESTORY KASABILA
Shughuli ya Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila iliyo andaliwa na familia nyumbani kwake Kibeta nje kidogo ya Mji wa Bukoba Jumamosi Octobar 11,2014.
Sehemu ya Waumini wakiendelea na ibada ya kumbukumbi ya kifo cha Mzee Nestory Kasabila
Waumini wakiendelea na Ibada ya Mzee Nestory Kasabila aliyekuwa muumini mwaminifu wa kanisa lake la KKT usharika wa Kibeta.
Watoto wa Marehemu Mzee Nestory Kasabila wakiendelea kushiriki Ibada hiyo.
Mdau katika usikivu wa neno la Mungu
Mchungaji akiwa anaendelea kuwahubiria Washiriki katika Ibada hii
Dada Revina Kasabila akiwa katika maombi
Waimbaji wa Kanisa la Kilutheri Kibeta
Kwaya ikiendelea kutumbuiza wakati wa Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila
Wanakwaya wakiimba na kumshangilia Bwana toka rohoni.
Mzee wa Kanisa akielezea kuwa Marehemu Mzee Nestory Kasabila alipenda kuimba na alishiriki kwenye kwaya na kuiongoza, pia alikuwa muumini mwaminifu wa kanisa lake.
Anaonekana Bi Proscovia Stanslaus ambaye ndiye MC mwongozaji wa shughuli hii
Ndugu Andrew Mutagobwa akimtambulisha kinywaji Cha Windhoek Draught kwa wadau mbalimbali walioshiriki katika Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila.
Wanandugu pichani wakifurahia sifa za Kinywaji cha Windhoek Draught
Shughuli ikiendelea.
Ndugu Datus Kasabila na mwenzake katika hali ya Usikivu wakendelea kupata Windhoek Draught kinywaji kinachosambazwa na Kampuni ya Mabibo Beer,Wine & Spirits Ltd
Katika picha ya pamoja pichani katikati ni Mama Kasabila.
Chakula cha pamoja baada ya ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila
Huduma ya Chakula.
Wadau mbalimbali katika shughuli hii wakipata kinywaji cha Windhoek Draught
Windhoek Draught kinywaji chaguo la wengi.
Huduma za Windhoek Draught ikiendelea
Kama kawaida utaweza kupata Matukio zaidi ya picha 100 kupitia Ukurasa wetu wa facebook
Ndugu Andrew Mutagobwa Kagya Mdau wa Windhoek akiendelea kutoa maelezo ya ubora wa bia hiyo
Tukio la Mwisho wakati Wanachama wakimpongeza Mama Kasabila
Pongezi nazawadi zikiendelea
Endelea kuwa nasi kwa Sehemu ya Video tukio kamili kilichojiri katika Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila iliyo andaliwa na familia nyumbani kwake Kibeta nje kidogo ya Mji wa Bukoba Jumamosi Octobar 11,2014.
Gonga hapa>>Bukobawadau Entertainment Media kwa matukio zaidi ya picha
Sehemu ya Waumini wakiendelea na ibada ya kumbukumbi ya kifo cha Mzee Nestory Kasabila
Waumini wakiendelea na Ibada ya Mzee Nestory Kasabila aliyekuwa muumini mwaminifu wa kanisa lake la KKT usharika wa Kibeta.
Watoto wa Marehemu Mzee Nestory Kasabila wakiendelea kushiriki Ibada hiyo.
Mdau katika usikivu wa neno la Mungu
Mchungaji akiwa anaendelea kuwahubiria Washiriki katika Ibada hii
Dada Revina Kasabila akiwa katika maombi
Waimbaji wa Kanisa la Kilutheri Kibeta
Kwaya ikiendelea kutumbuiza wakati wa Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila
Wanakwaya wakiimba na kumshangilia Bwana toka rohoni.
Mzee wa Kanisa akielezea kuwa Marehemu Mzee Nestory Kasabila alipenda kuimba na alishiriki kwenye kwaya na kuiongoza, pia alikuwa muumini mwaminifu wa kanisa lake.
Anaonekana Bi Proscovia Stanslaus ambaye ndiye MC mwongozaji wa shughuli hii
Ndugu Andrew Mutagobwa akimtambulisha kinywaji Cha Windhoek Draught kwa wadau mbalimbali walioshiriki katika Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila.
Wanandugu pichani wakifurahia sifa za Kinywaji cha Windhoek Draught
Shughuli ikiendelea.
Ndugu Datus Kasabila na mwenzake katika hali ya Usikivu wakendelea kupata Windhoek Draught kinywaji kinachosambazwa na Kampuni ya Mabibo Beer,Wine & Spirits Ltd
Katika picha ya pamoja pichani katikati ni Mama Kasabila.
Chakula cha pamoja baada ya ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila
Huduma ya Chakula.
Wadau mbalimbali katika shughuli hii wakipata kinywaji cha Windhoek Draught
Windhoek Draught kinywaji chaguo la wengi.
Huduma za Windhoek Draught ikiendelea
Kama kawaida utaweza kupata Matukio zaidi ya picha 100 kupitia Ukurasa wetu wa facebook
Ndugu Andrew Mutagobwa Kagya Mdau wa Windhoek akiendelea kutoa maelezo ya ubora wa bia hiyo
Tukio la Mwisho wakati Wanachama wakimpongeza Mama Kasabila
Pongezi nazawadi zikiendelea
Endelea kuwa nasi kwa Sehemu ya Video tukio kamili kilichojiri katika Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila iliyo andaliwa na familia nyumbani kwake Kibeta nje kidogo ya Mji wa Bukoba Jumamosi Octobar 11,2014.
Gonga hapa>>Bukobawadau Entertainment Media kwa matukio zaidi ya picha