Bukobawadau

Dk Shein Mgeni Rasmin Baraza la Eid El Hajj Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotono Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akipokelewa na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj, kitaifa zimefanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, akiwasili na katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akisalimiana na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj, kitaifa zimefanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais Mstaaf wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akipokelewa na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj, kitaifa zimefanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili kwa msafara wa mapikipiki ya Polisi wa Usalama Barabara kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj zilizofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja,  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili kwa msafara wa mapikipiki ya Polisi wa Usalama Barabara kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj zilizofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja, 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Juma Kassim Tindwa , tayari kwa huhudhuria hafla ya Baraza la Eid El Hajj zilizofanyika Kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwasili viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akiongozana na Kamishna wa Polisi Zanzibar Kamishna Hamdani tayari kwa kupokea salamu za Bwaride lililoandaliwa kwa ajili yake na Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU, katika viwanja hivyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akipokea saluti maalum ilioandaliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU kwa ajili ya Baraza la Eid El Hajj.lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja.
Kikosi cha FFU kikitowa heshima ya Bwaride Maalum lililoandaliwa kwa Ajili ya Baraza la Eid El Hajj kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akielekea Ukumbi wa Baraza la Eid El Hajj baada ya kupokea Saluti ya Bwaride Rasmin la Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU.
Viongozi wa meza Kuu wakiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Viongozi wengine wakimsikiliza msoma Quran wakati wa ufunguzi wa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, kutoka kushoto Naibu Musti wa Zanzibar Shekh. Mussa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad na kulia Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Abubakar Khamis Bakar Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Rais Mastaaf wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume na Mama Fatma Karume. 
Msoma Quran Ust Juma Said akisoma Quran wakati wa ufunguzi wa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar. 
Ust. Machano Faki akisoma Tafsiri ya Quran wakati wa hafla ya Baraza la Edi El Hajj lililofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Waziri wa Sheria Katiba Zanzibar Mhe. Abubakar Khamis Bakar akitowa maelezo na kukaribisha Mgeni Rasmin, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kuhutubia Wananchi katika Hafla ya Baraza la Eid lililofanyika Kitaifa Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia Wananchi katika Baraza la Eid El Hajj katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja. 
Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar wakati wa hafla ya Baraza la Eid El Hajj.
Viongozi wa Serikali na Wananchi wakihudhuria Baraza la Eid El Hajj wakifuatilia Hutuba ya Baraza la Eid iliyokuwa ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) wakiwa kazini kurusha matangazo wakati wa hafla ya Baraza la Eid El Hajj lililofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar.
Naibu Mufti wa Zanzibar Shekh. Mussa, akisoma dua baada ya kumalizika kwa hutuba ya Mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.
Viongozi wa Serikali wakiitikia dua.
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiitikia Dua.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi Ali Karume nje ya Ukumbi wa Baraza baada ya kumalizika kwa hafla hiyo wakipata viburudisho vilivyoandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid El Hajj.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Viongozi wa Serikali kutoka kushoto Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalif Seif Shariff Hamad, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Rais Mstaff wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume.
Viongozi na Wananchi wakipata dhifa ilioandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid El Hajj kwa Wananchi katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar.
Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein,  
Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein,  

Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein,  
Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein.  




iMETAYARISHWA NA OTHMANMAPARA.BLOGSPOT. ZANZINEWS.COM
Next Post Previous Post
Bukobawadau