Bukobawadau

Mtaaaaaaaaa kwa mtaaaa Na Camera yetu !!!!

Pichani ni ndg Mwinyi akiwa ofisini katika utekelezaji wa mambo yake kama ilivyo ada,pamoja na uwezo na ufanisi mkubwa alio nao Mwinyi katika utendajikazi bado pia anasifa ya kujitoa zaidi kwenye maswahala ya kijamii.(abalikiwe)
Hapo ni fast world computer.kama unavyo jionea kwa mbali picha ya juu ni mtu mzima mzee wa kazi Ndg Mnar.Wao wamebobea kwa matengenezo ya vitu mbalimbali (digital)na ni wasambazaji wa vipuri vya compyuta.wapo nje ya soko kuu mjini bukoba kama uonavyo picha ya chini inavyo dhihilisha.
Pichani ni Ndg Mwinyi wa fast world computer akitoa pendekezo kwa mdau.
Ndivyo wanavyo onekana wadau katika mitkasi ya hapa na pale.
Next Post Previous Post
Bukobawadau