Bukobawadau

Yaliyomo yamo tu !!!!!!!!Ni ndani ya club linaz

Weeknd hii mkazuzu ndani ya club linaz kama unavyo jionea katika picha Pembeni kulia ni Mr&Mrs Deo Rugaibula wakishuhudia swagar za wadau mbalimbali
Brotherman Raul Bayona pembeni yake ni Kenny Dulle kama walivyo kutwa na camera ya wadau ndani ya club linaz.
Wakati DJ cool Mc,Dj Ray,&Dj y wakifanya kusababisha drop mpya kama man down ,tease me, ray it down,lighters,mambo ya motivation ,im into you mpango mzima ilikuwa lazy song ya bruno mars kabla ya ile iliowafanya wadau wote wapige keleleeeeeeee kwa saana nayo ni yaemptiness rohan rathere kwa hakiki ni vigumu kusimlia!!!ile hali dj Max akisukuma pool na kumudu kumkabili mdau fulani mbishi wa game kama uonavyo katika picha.
Next Post Previous Post
Bukobawadau