Bukobawadau

Daaaaah ajali mda wa futuru!!! Ni pande za miembeni hivi punde!!

Mdau Bashru Kabyemela al maarufu kama Badae akutana na mkasa mda mchache uliopita akiwa anaelekea home kwake bila shaka kupata ftari ndipo alipo vaana na kijana wa pikipiki maarufu kama (asecdo) ambaaye amekimbia na kuacha kipandio chake barabarani na kuacha shavu la GX 1OO limeninginia kama unavyo jionea kwenye picha.
Next Post Previous Post
Bukobawadau